Jeremiah 49:7

Ujumbe Kuhusu Edomu

7 aKuhusu Edomu:

Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote:

“Je, hakuna tena hekima katika Temani?
Je, shauri limewapotea wenye busara?
Je, hekima yao imechakaa?
Copyright information for SwhNEN